Imewekwa: December 24th, 2018
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Ndg. Anderson Msumba pomoja na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Abel Shija na Wataalamu wote wa Mji wa Kahama wanawatakia wananchi wote sherehe njema za Krisma...
Imewekwa: December 10th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha ameongoza harambee ya kumchangia Bi. Fatuma Mabanga ambaye ni muathirika wa ukatili wa kijinsia. Harambee hiyo imefanyika mapema leo kwenye maadhimisho ya...
Imewekwa: December 1st, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha leo ameongoza zoezi la Upimaji wa afya wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani. Akiongea na wananchi waliofika kwenye Maadhimisho hayo Mhe. Macha ...