• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Maendeleo Ya Jamii

IDARA   Y A MAENDELEO YA JAMII

KAZI NA MAJUKUMU YA VITENGO

1.0     UTANGULIZI 

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni miongoni mwa Idara kati ya Idara zilizopo  Halmashauri  Miji Kahama . Hii ni Idara mtambuka ambapo lengo lake kuu ni kuelimisha wananchi katika mambo mbalimbali ya kijamii, kiuchumi na kisiasa (kuratibu upatikanaji, usambazaji na utekelezaji wa Sera mbalimbali za Maendeleo). Kuhamasisha jamii kushiriki kwenye shughuli za maendeleo kwa lengo la kujiletea maendeleo yao wao wenyewe. Idara hii inaamini kwamba maendeleo ya mtu huletwa na mtu mwenyewe, ni imani yetu kwamba watu wanataka mabadiliko na wanaweza kubadilika, lakini hapa ifahamike kwamba mabadiliko yanayolengwa ni mabadiliko ya kimaendeleo na siyo vinginevyo. Kada ya Maendeleo ya Jamii inaamini katika  falsafa ya Profesa Robert Chamber kwamba ”husimpe mtu samaki bali mfundishe mtu namna ya kuvua samaki”. Hii ikiwa na maana kwamba tuache kuwapa watu vitu/ kuwapelekea miradi ya maendeleo na badala yake miradi yote ya maendeleo itokane na wao wenye kwa njia shirikishi. Kwa utaratibu huu miradi yote ya maendeleo itakuwa endelevu.

Idara ya maendeleo ya jamii ina vitengo 6 kama vilivyoainishwa hapa chini, kila mkitengo na majukumu yake.

  • KITENGO CHA UTAFITI,

TAKWIMU NA MIPANGO

  • Kukusanya takwimu mbalimbali za Halimashauri kwa matumizi ya idara
  • Kufanya uchambuzi wa takwimu
  • kutoa mafunzo ya uongozi na utawala kwa serikari ya vijiji na mitaa
  • Kufanya tafiti mbalimbali zenye kuiletea maendeleo  jamii
  • Kuandaa maandiko ya mradi (proposal or project write-ups)
  • Uandaaji wa taarifa za robo mwaka na mwaka mzima za idara
  • Kusimamia kazi, shughuli na utendaji wa kazi wa Maafisa wa Maendeleo ya Jamii walioko kwemye kata
  • Kumshauri mkuu wa Idara mambo yahusuyo idara ya Maendeleo ya Jamii zikiwemo sera zote za idara na utekelezaji wake.

2.  KITENGO CHA MAENDELEO YA WANAWAKE NA WATOTO.

  • Kusimamia mambo yote yahusuyo maendeleo ya wanawake na watoto katika Halmashauri,
  • kuratibu sherehe ya siku ya  wanawake Duniani,
  • kuratibu sherehe ya siku ya mtoto wa Afrika,
  • Kuunda na kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya kiuchumi  vya wanawake,
  • Kusimamia mfuko wa maendeleo ya wanawake kwa  utoaji wa mikopo na marejesho yake,
  • Kutoa taarifa ya maendeleo ya mfuko wa  wanawake,
  • Kusimamia sera za maendeleo ya wanawake na watoto,
  • Mshauri wa mkuu wa idara  juu ya masuala yote yahusuyo maendeleo ya  wanawake na watoto.

3. KITENGO CHA MAENDELEO NA JINSIA

  • Kuelimisha  jamii dhana ya jinsia na kuratibu sherehe ya siku ya familia,
  • Kuelimisha jamii juu ya dhana potofu ya mila na desturi zinazoathiri jamii kimaendeleo,
  • Kutoa elimu/mafunzo na uhamasishaji wa dhana ya lishe kwa jamii kwaajili ya kuleta maendeleo katika jamii,
  • Mshauri wa mkuu wa idara  juu ya sera na utekelezaji wake kwa masuala yote yahusuyo jinsia,

4. KITENGO CHA USTAWI WA JAMII

  • Kusimamia utambuzi wa watoto walioko katika mazingira hatarishi kwa kuwa na takwimu za mara ( yatima, watoto wa mtaani),
  •  Kufanya utambuzi  wa makundi maalumu kama wazee,wajane,wagane,wenye ulemavu
  • kuratibu sherehe ya siku ya wazee Duniani 
  • Kutoa huduma (service delivery) kwa jamii/familia zenye migogoro ya ukosefu wa huduma za watoto
  • Kuielimisha jamii juu ya sheria ya mtoto, ajira za watoto
  • Kusimamia utaratibu wa PAROLI- wafungwa wanaostahili kuwa nje ya magereza kwa kufanya kazi za kiserikali wakiwa kifungoni
  • Kuwa na mipango endelevu ya kupunguza kasi ya ongezeko la watoto wa mitaani
  • Kusimamia shughuli za ustawi wa jamii kwa wananchi/jamii
  • Kumshauri mkuu wa idara  masuala yote yahusuyo ustawi wa jamii
  • 5. KITENGO CHA UJENZI VIJIJINI
  • Kufanya utambuzi wa mafundi vijijini kwa fani zao(uashi,ufundi seremala ) pamoja na viwanda vidogo vidogo
  •  Kutoa mafunzo ya mafundi juu ya ujenzi wa nyumba bora zenye gharama nafuu
  • Kuelimisha serikali za vijiji juu ya ujenzi wa makazi bora ya nyumba bora
  • vijijini
  • Kusimamia upatikanaji wa ramani na usambazaji wa ramani za nyumba bora vijijini kwa serikali za vijiji
  • Kuunda vikosi vya ujenzi kwenye kata (building brigades) ili wasimamie kazi za ujenzi wa majengo ya serikali
  • Usambazaji wa teknologia sahihi kwa wananchi vijijini(majiko bora na banifu, zana bora za kazi)
  • Kumshauri mkuu wa idara  masuala yote yahusuyo ufundi na ujenzi vijiji

6. KITENGO CHA VIJANA

  • Kuhamasisha juu ya sera ya vijana
  • Kushirikiana na Afisa utamaduni juu ya masuala ya maedndeleo ya vijana
  • Kuhamasisha uundaji wa vikundi vya vijana
  • kusimamia utoaji mikopo kwa vijana na marejesho yake
  • Kufanya utambuzi wa vikundi vya vijana na shughuli zao za kiuchumi
  • Kutoa elimu/ mafunzo ya ujasriamali kwa vikundi vya vijana
  • Kumshauri mkuu wa idara masuala yote yahusuyo maendeleo ya vijana
  • MIRADI INAYOTEKELEZWA NA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA MAJUKUMU YA WARATIBU WA MIRADI
  • Kitengo cha ukimwi
  • Kuhamasisha na kuelimisha jamii juu ya  kupunguza kasi ya maambukizi mapya ya UKIMWI
  • kuratibMafunzo kwa kamati za kudhibiti UKIMWI za VMAC/WMAC/CMAC
  • Kutekeleza kazi zote za UKIMWI kama zilivyo kwenye sera ya UKIMWI
  • Kumshauri mkuu wa idara  kuhusu masuala ya UKIMWI


Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa