• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Uchaguzi

KITENGO CHA UCHAGUZI

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UCHAGUZI

Jimbo la Kahama mjini ni Miongoni mwa majimbo mapya yaliyoanzishwa mwaka 2015 baada ya kuvunjwa kwa Jimbo la zamani la Kahama na kuzaliwa Jimbo la Kahama Mjini na Ushetu.

Kitengo cha Uchaguzi katika ngazi ya Halmashauri kinatekeleza Majukumu yafuatayo.

1.Kuratibu na kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani.

2.Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika Jamhuri ya Muungano.

3.Kusimamia na Kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

(Uchaguzi wa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa vijiji na Mitaa)

4.Kuratibu na kusimamia zoezi la ujazaji wa Rejesta ya wakazi katika Mitaa,Vijiji na Vitongoji.

5.Kupitia na Kuboresha Mipaka ya Kata,Vijiji,Mitaa na Vitongoji ili kusogeza huduma kwa Wananchi.

6.Kuendelea kutoa Elimu ya Mpiga kura kwa wananchi, taasisi za Umma na za watu Binafsi.

7.Kuendelea kukusanya takwimu za wananchi waliofikisha Umri wa Miaka 18 na kuendelea.

8.Kukusanya Takwimu za Wapiga kura waliopotelewa na Vitambulisho vya Mpiga kura na kuiarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

9.Kuandaa taarifa ya nafasi wazi za viongozi wa Serikali za Mitaa na kuomba kibali Ofisi ya Rais Tamisemi kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo.

10.Kuratibu mafunzo ya kuwajengea uwezo kwa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa kamati za Vijiji na Mitaa.

12.Kutekeleza Majukumu Mengine yoyote kwa Mujibu wa maelekezo toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa