• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

MAJUKUMU YA IDARA YA KILIMO

  • Kutoa elimu kwa wakulima juu ya uzalishaji wa mazaoya kilimo ili kuongeza tija.
  • Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendelea katika sekta ya kilimokwenye shughuli mbalimbali
  • Kusimamia wataalamu wote wa Idara ya kilimo katika Ngazi ya Kata na vijiji katika kutekeleza shughuli za kilimo
  • Kutoa elimu ya uhifadhi wa chakula katika hali ya ubora ili kukabiliana na baa la njaa
  • Kutoa taarifa ya mabadiliko ya hali ya hewa kwa wakulima kupitia maafisa kilimo  wa kata na vijiji pindi tuzipatazotoka kwa mamlaka ya hali ya hewa Tanzania.
  • Kushauri wakulima kulima mazao yanayostahimili ukame ( yanayotumia maji kidogo kwa ufanisi) wakati wa upungufu wa mvua ili kuwa na uhakika wa chakula msimu wote

          MALENGO YA KILIMO 2016/17

Mazao Makuu ya Chakula
Lengo Hekta
Matarajio ya mavuno(Tani)
Mahindi
16424
32840
Mpunga
15208
53228
Mtama
2100
2520
Mihogo
5030
15020
Viazi vitamu
4092
12276
Jumla ndogo 
43020
11658
Mazao ya Biashara
 
 
Pamba
2244.2
3366.3
Alizeti
1250
1875
Dengu
280
224
Karanga
4228
6342
Jumla ndogo
8002.2
11807.3
Mazao ya Mikunde
 
 
Maharage
712
1068
Kunde
540
648
Choroko
50
40
Njugumawe
250
375
Jumla ndogo
1302
1756
JUMLA KUU
52408.2
 
129822.3
 

ENEO LA KILIMO

Katika Halmashauri ya mji wa kahama tuna jumla ya eneo lenye ukubwa wa Hekta za mraba 152016.1 ,Kati ya hizo Eneo linalofaa kwa Shuguli za kilimo ni hekta 71873.8

MIKAKATI YA IDARA

  • Kuendelea kutoa elimu kwa wakulima juu ya matumizi sahihi ya chakula kuepuka kuwa na njaa
  • Kusisitiza uhifadhi wa chakula kwa kuzingatia kiwango cha chakula kinachohitajika kwa mtu mmoja ambapo kila mtu mzima anatakiwa kula kiasi cha kilo 270 cha nafaka kwa mwaka (sawa na magunia 3 ya kilo 90)
  • Kuendeleza kusisitiza wakulima kulima mazaoya mizizi na yanayostahimili ukame ( yanayotumia maji kidogo kwa ufanisi) ili kukabiliana na njaa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa