• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Usafi na Mazingira


  • MAJUKUMU YA IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA 
  • Kubainisha na kupendekeza  masuala ya Mazingira yanayopaswa kuhuishwa katika mipango ya kisekta na Halmashauri kwa ujumla.
  1. Kusimamia utekelezaji wa mikakati ya matumizi salama ya Tekinolojia ya Kisasa (Biosafety).
  2. Kutoa ushauri kuhusu maeneo yaliyoathirika kutokana na shughuli za kiuchumi zisizo endelevu (kama vile uchimbaji wa Madini, Kilimo, Ujenzi, Ufugaji n.k).
  3. Kuratibu miradi mbalimbali inayohusu usimamizi na Hifadhi ya Mazingira.
  4. Kusimamia matumizi ya Rasilimali mbalimbali za Hifadhi ya Mazingira.
  5. Kuchambua na kusambaza Takwimu za Hifadhi za Mazingira.
  6. Kufuatilia na kushauri kuhusu utekelezaji wa mikataba na maazimio ya Kitaifa,Kikanda na Kimataifa kuhusu usimamizi na Hifadhi ya Mazingira
  7. Kupendekeza miradi ya Hifadhi ya Mazingira.
  8. Kupitia na kushauri kuhusu taarifa za Tathimini ya Athali za Mazingira (EIA) na mpango mkakati wa tathimini ya Mazingira(Strategic Environment Assessment)
  9. Kupitia na kushauri kuhusu utekelezaji wa Sera, Sheria ya Mazingira na miongozo na mikakati mbalimbali kuhusu usimamizi na hifadhi ya mazingira.
  10. Kutoa (Disseminate) Elimu ya Hifadhi ya Mazingira kwa wadau mbalimbali.
  11. Kusimamia Usafi wa mazingira katika Halmashauri ya Mji  wa Kahama
  12. Kutoa taarifa mbalimbali za utekelezaji wa kazi za Idara kwa Mkurugenzi
  13. Kusimamia wajibu wa haki za watumishi wote walio katika Idara ya Usafi na Mazingira

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa