• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Mifugo na Uvuvi

IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

Idara ya Mifugo na Uvuvi ni sekta ndani ya  Halmashauri ya Mji inayojishughulisha na uendelezaji wa wanyama, jamii ya ndege wafugwao na samaki. Lengo kuu likiwa ni kuongeza na kuboresha uzalishaji wa Mifugo na mazao yake, sambamba na upatikanaji wa samaki kutoka ziwani na kwenye mabwawa ya kufugia samaki ili kuboresha lishe ya jamii na kutoa mchango katika kuinua uchumi wa jamii na Taifa kwa ujumla.

ENEO LAKUFUGIA

Sehemu kubwa ya eneo la Halmashauri ya Mji lina malisho hivyo linaruhusu ufugaji wa aina mbalimbali ya mifugo.Karibu asilimia 60 ya eneo hili inatumika kufugia isipokuwa kwenye maeneo ya makazi.

MIFUGO ILIYOPO

Kata
 Ng’ombe
 mbuzi
 kondo
nguruwe
paka
kuku
bata
mbwa
punda
Nyasubi

  375

   254

191

268

-

4472

118

547

-
Mhongolo

4,459

1389

161

682

102

10,101

472

682

19
Kilago

  8,183

  2,896

    398

36

162

23,789

283

 546

35
majengo

49

191

19

37

28

1374

27

13

7
Kagongwa

1412

130

57

280

64

1700

250

87

48
Zongomela

7,213

135

70

55

75

2307

85

47

50
Nyandekwa

7,637

1613

738

13

-

1775


418

32
Kinaga

8,213

1151

652

-

208

13261

131

79

35
Ngogwa

7,219

2504

68

62

57

2308

82

132

6
Wendele

9,889

564

53

18

21

1843

14

97

16
Isagehe

5,781

654

98

-

34

3769

78

56

21
Mhungula

 368

 348

 54

237

23

4573

97

43

26
Nyihogo

107

75

25

27

4

1967

31

7

8
Mondo

8,765

536

87

59

46

5572

52

123

83
Mwenda.kulima

6,213

685

56

13

31

3734

89

91

67
Kahama mjin

50

29

-

94

-

3875

28

16

3
Nyahaga

397

185

21

56

7

883

53

85

27
Busoka

5,217

784

74

46

12

947

63

81

14
Malunga

405

307

53

22

66

1008

47

70

16
Iyenze

8,743

2631

126

13

31

2341

64

86

36
JUMLA

90,695

4,860

3,001

2,018

971

91,599

2,064

3,306

   481     663

Wanyama na ndege wengine wanaofugwa ni sungura, njiwa, bata muzinga, bata bukini na kanga hawa wanafugwa kwa kiwango kidogo sana ndani ya Halmshauri ya Mji.

 

SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA YA MIFUGO/UVUVI

  • Kitengo cha mifugo
  • Kinga dhidi ya magonjwa ya mifugo (chanjo na uogeshaji wa mifugo)
  • Tiba ya mifugo
  • Lishe ya mifugo
  • Hifadhi ya mifugo
  • Elimu juu ya sheria, kanuni na taratibu za ufugaji unaokubalika
  • Elimu ya ufugaji wenye tija
  • Elimu ya usindikaji  na biashara ya  mazao ya mifugo
  • Kusimamia biashara ya mifugo kwenye minada ya awali
  • Kusimamia ukaguzi na usafi wa nyama kwenye machinjio ndani ya Halmashauri

Eneo linalostahili kwa malisho na ufugaji kwa ujumla ni Hekta za mraba 71,874. Eneo hili linatumika pia kwa kilimo kwani hakuna eneo lililotengwa rasmi kwa ufugaji.

  • Kitengo cha uvuvi
  •  Kitengo hiki kinafanya shughuli za ukaguzi wa samaki wanaoingia kutoka  shemu mbalimbali,zaidi sana ni kutoka ziwa Viktoria na kwenye mito na mabwawa ya watu binafsi.
  • Uhamasishaji na uelimishaji juu ya  ufugaji wa samaki ambao kwa sasa ndio mradi mpya ulioshamili na kupendwa zaidi na jamii.
  • Kushirikiana na taasisi zisizokuwa za kiserikali ili kueneza elimu ya ufugaji wa samaki.
  • Kufanya ufuatiliaji wa biashara ya samaki na mazao ya majini kwa ujumla
  • Mpaka sasa ndani ya Halmashauri tuna jumla ya mabwawa 71 yaliyokwisha pandikizwa samaki. Baadhi ya mabwawa ni ya watu binafsi na mengine ya taasisi zisizokuwa za kiserikali kama World vision ambao wana jumla ya mabwawa 71 katika Kata za Kilago na Iyenze

Samaki wanaoingia kila siku

Jumla ya matenga 8 yenye uzito wa kilo 1,000 huingia kila siku katika soko la Namanga na kuuzwa.

 

UVUNAJI WA MIFUGO

  • Tuna jumla ya minada ya mifugo 5 ya awali ndani ya Halmashauri.
  • Tuna machinjio 2 na angikio 1 linalotambulika - wastani wa uchinjaji kwa siku kwenye machinjio za  Halmashauri ni ng’ombe 40, mbuzi 15 kwa siku kipindi cha ukata na ng’ombe 53 ,mbuzi 27 kipindi cha biashara nzuri hasa baada ya mavuno.
  • Pia wafugaji huuziana mifugo wao kwa wao.

Mikakati tuliyonayo ni kuhakikisha kuwa Halmashauri inakuwa na ufugaji wenye tija katika kujenga uchumi wa jamii na Taifa kwa ujumla.

Shughuli kuu iliyoko mbele yetu kwa sasa ni zoezi la kutambua na kusajili mifugo kupitia upigaji chapa kwa ng’ombe. Maandalizi yanaendelea

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa