Imewekwa: January 28th, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ameipandisha hadhi Halmashauri ya Mji wa Kahama kuwa Manispaa ambapo sasa Kahama Mji itajulikana kama Manispaa ya Kahama.
Rai...
Imewekwa: January 21st, 2021
Kikao cha kawaida cha robo ya pili mwaka wa fedha 2020/2021 cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji wa Kahama kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama.
...
Imewekwa: January 19th, 2021
Kamati ya Elimu, Afya na Uchumi ya Halmashauri ya Mji wa Kahama leo imefanya ziara ya kutembelea maeneo yanayotekeleza miradi ya Maendeleo ndani ya Mji wa Kahama na kufanya kikao chake cha kawaida cha...