• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

“Naibu Waziri TAMISEMI afurahishwa na Kasi ya ukuaji wa Uchumi na Uwekezaji Halmashauri ya Mji Kahama, aahidi kuipandisha hadhi na atabiri kuwa Jiji ndani ya kipindi kifupi”

Imewekwa: November 29th, 2017

Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Mh. George Joseph Kakunda ameimwagia sifa Halmashauri ya Mji Kahama kwa ukuaji wa Uchumi na fursa za uwekezaji. Ametoa sifa hizo alipokuwa kwenye ziara yake ya kikazi katika Halmashauri ya Mji Kahama mapema leo Tar. 29.11.2017.

Akiwa Kahama Mh. Naibu Waziri ametembelea maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la uwekezaji lililopo Mtaa wa Bukondamoyo maarufu kama “Dodoma” ambapo pamoja na mambo mengine amesema kuwa eneo hilo ni fursa kubwa kwa wananchi kufanya biashara na hatimaye kujikwamua katika uwekezaji.

Katika hatua nyingine Mh. Waziri ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mbao, kuchomelea n.k ambao bado wanafanyia shughuli zao katikati ya Mji kuwa hadi kufikia Desemba 10 wote wawe wamehamia “Dodoma” na kwamba baada ya hapo msako utafanyika na hatua zaidi zitachukuliwa juu yao. “..hao ambao hawajahamia huku wanahujumu jitihada za rais za kukuza viwanda.. hatutavumilia kwa hilo” alisema Mh. Waziri.

Pia Mh. Naibu Waziri ameweza tembelea eneo ambalo ujenzi wa soko la kimataifa umesimama kata ya Busoka na kuahidi kufuatilia sababu za ukwamaji wa ujenzi. Aidha amebainisha kuwa kama soko hilo likikamilika linaweza kusaidia kuleta fursa ya kufanya biashara ki mataifa.

Maeneo mengine aliyotembelea Mh. Waziri ni pamoja na Shule ya Sekondari Nyihogo na Kituo cha afya kinachojengwa Kata ya Iyenze.

Mh. Waziri alihitimisha ziara yake kwa kuongea na watumishi wa Halmashauri ya Mji na Msalala katika Ukumbi wa Halmashauri.

 

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Nafasi za Ajira za Muda

    June 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa