• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Mwenge wa Uhuru Waingia Kahama

Imewekwa: July 30th, 2022

Mwenge wa Uhuru leo Julai 30 umekimbizwa katika Manispaa ya Kahama, ukitokea Halmashauri ya Msalala, ambapo umepitia Miradi Mitano ya Maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 4.9.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa Miradi hiyo, Sahili amesema Miradi yote ni mizuri na na ndiyo maana ameridhia kuizindua na kuweka mawe ya msingi.

"Nimekagua Miradi yote ni mizuri Kahama mmeupiga Mwingi, endeleeni hivyo hivyo kutekeleza Miradi na kuboresha huduma kwa wananchi," amesema Geraruma.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni pamoja na Uzinduzi wa Mradi wa Maji katika Kata ya Ngogwa, Uwekaji wa Jiwe la Msingi kwenye jengo la uchunguzi katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, Uzinduzi wa Karakana ya Aluminium na Samani iliyopo eneo la Viwanda la Ummy Mwalimu Zongomera, Ukaguzi wa Kiwanda cha Kuchakata Taka ngumu kilichopo Nyasubi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi kwenye Bweni la Wavulana wenye Mahitaji Maaalum.

Aidha nje ya Miradi ya Mwenge, Kiongozi wa Mbio za Mwenge amefanya matukio mawili ambayo ni  kuzindua Jiwe la hamasa ya Anuani za Makazi kwenye jengo la Makao makuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Kahama na Kukabidhi funguo za Magari mapya mawili ya kubebea wagonjwa "Ambulance" zilizonunuliwa na fedha za mapato ya ndani kwa Madereva.





Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa