• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

"Msishindane na Serikali" DC Kiswaga

Imewekwa: July 18th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga ameelekeza kuachiwa huru kwa Wafanyabiashara wawili wa Matunda walioshikiliwa kwa kosa la kushambulia askari wa Manispaa ya kahama waliokua wakitimiza wajibu wao. 

Ametoa msamaha huo mapema leo alipotembelea na kuongea na wajasiriamali wa Soko la Matunda na Machinga lililopo Eneo la CDT Mjini Kahama. 

"Nimetoa msamaha kwenu ili iwe funzo kwenu na kuwapa nafasi ya kujirekebisha, serikali ina malengo makubwa kwa vijana.. Serikali inataka muwe pamoja, muunde vikundi vingi ili kama hamna mitaji iwakopeshe, na mikopo inayotolewa na Serikali ya Mama Samia Suluhu Hassan haina ubaguzi wa wa itikadi za vyama, uwe Chadema, iwe CUF, NCCR au CCM wote ni wa Tanzania, ni marufuku kwa machinga kufilisika.. " Amesema Kiswaga. 

Mhe. Kiswaga amesema Ziara yake kwenye eneo hilo imetokana na kuona kipande cha Video kilichokuwa kinasambaa mitandaoni kikionesha Mgambo wa Manispaa ya Kahama wakibeba bidhaa za muuza matunda aliyekua akifanya biashara pembezoni mwa barabara. 

"Unajua mitandao ya Kijamii ina nguvu sana, na jambo linasambaa kwa haraka sana kupitia mitandao hiyo, nlipoona hiyo video hiyo nikawasaliana na viongozi lakini sijaridhishwa na maelezo yao na ndio maan nimekuja hapa, ila kwa maelezo ya Mheshimiwa Diwani na viongozi wa Machinga nimejiridhisha kuwa Wale vijana walikua na makosa, ila tunawapa nafasi nyingine..na nakuagiza kiongozi wa eneo hili kuwapatia hawa eneo la kufanyia biashara zao ndani ya eneo hili ambalo lipo rasmi kwa kazi hiyo..na Mkurugenzi ameweka wazi kuwa ikifika saa moja jioni mnaruhusiwa kwenda huko barabarani lakini asubuhi na mchana eneo la biashara ni hili.." Amesema Kiswaga. 

Katika hatilua nyingine Mhe. Kiswaga amewaasa askari wa Manispaa kufanya jukumu lao la msingi la Kulinda wafanyabiashara wafanye biashara kwa amani badala ya kuwabughudhi na kuwapa hofu na inapotokea changamoto kabla hawajachukua hatua wawasiliane na viongozi kwanza. 

Kwa upande wao wafanyabiashara hao waliokumbwa na hiyo kadhia wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa Msamaha na wameahidi kutii na kufuata sheria zilizowekwa na Serikali.

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Nafasi za Ajira za Muda

    June 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa