• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Fursa za Bomba la Mafuta zaifikia Kahama, Wananchi waaswa kutokuwa kikwazo

Imewekwa: February 26th, 2018

Waziri wa Nishati Mhe. Medard Kalemani asema Mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda kwenda Tanga utaleta fursa kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kwa kuwa unapita Wilayani Kahama. Amesema hayo mapema leo katika Mkutano wake na wadau wa Mkoa wa Shinyanga walipokuwa wakijadili fursa zitakazo patikana kwa Bomba hilo kupita Wilayani Kahama. Katika Mkutano huo Mhe. Kalemani amewataka viongozi kuwa mabalozi wazuri katika kuwafikishia uelewa wananchi ili wasiwe vikwazo pindi utekelezaji utakapoanza. 

Mhe. Kalemani amesema kuwa zaidi ya watu elfu moja wanatarajiwa kupata ajira katika ujenzi wa mradi huo, na amebainisha kuwa kipaumbele kitakuwa kwa wenyeji ambapo bomba litapita.

"Wananchi ni lazima washirikishwe na watashirikishwa kwa kiasi kikubwa sana, na hata katika kutangaza nafasi za kazi tumewalazimisha wakandarasi wale ambao wamepewa kazi kutangaza nafasi hizo za kazi kwa Lugha ya kiingereza na Kiswahili ili kuwafanya watanzania kuelewa masharti ya mikataba ile.." Amesema Mhe. Kalemani

Katika mkutano huu Mhe. Kalemani ameambatana na Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi ambaye kwa nafasi yake amewahakikishia wananchi ambao bomba litapita katika maeneo yao kuwa itafanyika tathmini na pale itakapohitajika fidia Serikali haitasita kuilipa.

Wengine walioambatana na Mhe. Kalemani ni pamoja na Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati Mhe. Subira Mgalu, Katibu Wa Wizara ya Nishati na wataalamu wengine wa Wizara ya Nishati.

Ujenzi wa bomba hili unatarajiwa kuanza Mwezi wa tano mwaka huu na unatarajiwa kuisha na kuanza kazi baada ya miaka mitatu (2020).



Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO January 01, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa