• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kahama Town Council
Kahama Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Usafirishaji
    • Sekta ya Utamaduni
    • Sekta ya Biashara
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Maliasili
    • Sekta ya Mawasiliano
    • Sekta ya Mazingira
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Wakulima Wanufaika na Pembejeo za Ruzuku Kahama

Imewekwa: December 7th, 2020

Wakulima wa Halmashauri ya Mji wa Kahama wamenufaika na Pembejeo za Kilimo za ruzuku zilizogawiwa na Halmashauri hiyo mapema leo. 

Akiongea wakati wa kukabidhi pembejeo hizo Mkurugenzi wa Mji wa Kahama Ndg Anderson Msumba amesema kuwa ruzuku hiyo inatolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kutatua changamoto ya ajira kwa vijana. 

Halmashauri ya Mjivwa Kahama kwa mwaka huu wa fedha imetenga milioni sabini na mbili (72) kwa ajili ya kununua pembejeo za kilimo zitakazogawiwa kwa vijana watakaojitokeza kulima kuanzia ekari tano za mazao ya biashara au chakula.

Kwenye pembejeo zilizogawiwa leo zimegharimu Jumla ya  Tsh. 24,850,000.

Wanufaika waliojitokeza na kupewa pembejeo ni 545 Kwa matarajio ya ekari 725 zitakazolimwa. Ambapo Mtama Ekari 500, Mpunga ekari 125, Mahindi 75, Alizeti 15 na Pamba ekari 10. 

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 December 30, 2020
  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO December 12, 2017
  • Muhtasari wa Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Kahama 2018/2019 October 10, 2018
  • Mapato na Mtumizi kufikia Machi 31, 2019 April 15, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wadau wa Maendeleo Kahama wakutana kujadili changamoto

    December 22, 2020
  • Madiwani wapya Kahama wapigwa Msasa

    December 11, 2020
  • Baraza jipya la Madiwani Kahama wapatiwa viapo vya uadilifu

    December 10, 2020
  • Wananchi waamua kujenga Barabara, Mkurugenzi awaunga Mkono

    December 07, 2020
  • Angalia zote

Video

Maagizo ya Katibu Mkuu Kiongozi kwa Watumishi wa Umma
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Tovuti ya Ikulu
  • Habari Maelezo

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: td@kahamatc.go.tz / info@kahamatc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Mji wa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa